Roho ya Wakarmeli

Roho ya Wakarmeli

Roho ya Wakarmeli ni hamu moto moto ya nafsi ya kutaka kuwa na uzoefu wa moja kwa moja wa Mungu. Kwa maneno mengine, roho ya Wakarmeli i katikati ya moyo wa maombi, yanayoeleweka kama urafiki wa upendo kati ya nafsi ya mtu na Mungu, ambayo hujizamisha katika tafakari kama zawadi ya bure ya Mungu. Roho ya Wakarmeli inalenga kukuza uhusino makini kati ya mtu na Yesu Kristo. Huu ndio mvuto ambao Wakarmeli wameuona na kuutamani kwa Bikira Maria na nabii Eliya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.

Home

Kundi la Wakarmeli Watanzania wa kwanza lililofungua misheni 2009 Bikira Maria na Nabii Eliya katika Karmeli